Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 32:44 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu watanunua mashamba kwa fedha, watazitilia sahihi hati zake za kuyamiliki, watazipiga mhuri, na kuweka mashahidi katika nchi ya Benyamini, kandokando ya Yerusalemu, katika miji ya Yuda, katika miji ya nchi ya milima, katika miji ya Shefela, na katika miji ya jangwa la Negebu. Maana nitawastawisha tena. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.”

Kusoma sura kamili Yeremia 32

Mtazamo Yeremia 32:44 katika mazingira