Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 32:30 Biblia Habari Njema (BHN)

Maana Waisraeli na watu wa Yuda hawakufanya chochote mbele yangu isipokuwa uovu tangu ujana wao; watu wa Israeli hawakufanya chochote isipokuwa kunikasirisha kwa matendo yao. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.

Kusoma sura kamili Yeremia 32

Mtazamo Yeremia 32:30 katika mazingira