Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 32:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Tazama, Wakaldayo wamechimba mahandaki kuuzunguka mji; wameuzingira ili wapate kuuteka; wanaushambulia. Vita, njaa na maradhi vitaufanya mji utekwe na watu hao. Kweli mambo uliyotabiri yametokea. Unaona mwenyewe.

Kusoma sura kamili Yeremia 32

Mtazamo Yeremia 32:24 katika mazingira