Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 32:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi: “Chukua hati hizi zote mbili, hati hii ya kumiliki shamba iliyotiwa sahihi, na hii nyingine iliyo wazi, uziweke katika chungu ili zipate kuhifadhiwa kwa muda mrefu.”

Kusoma sura kamili Yeremia 32

Mtazamo Yeremia 32:14 katika mazingira