Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 31:38 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu asema: “Siku zaja ambapo mji huu wa Yerusalemu utajengwa upya kwa ajili ya Mwenyezi-Mungu, kutoka mnara wa Hananeli hadi Lango la Pembeni.

Kusoma sura kamili Yeremia 31

Mtazamo Yeremia 31:38 katika mazingira