Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 31:34 Biblia Habari Njema (BHN)

Wala haitawabidi kufundishana na kusema: ‘Mjue Mwenyezi-Mungu’, kwa sababu wote, wadogo kwa wakubwa, watanijua mimi Mungu. Maana nitawasamehe makosa yao, wala sitazikumbuka tena dhambi zao.”

Kusoma sura kamili Yeremia 31

Mtazamo Yeremia 31:34 katika mazingira