Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 3:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Hatuna budi kujilaza chini kwa aibu, na kuiacha fedheha yetu itufunike. Tangu ujana wetu hadi leo hii, wazee wetu na sisi wenyewe tumetenda dhambi mbele ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu, wala hatukumtii Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu.’”

Kusoma sura kamili Yeremia 3

Mtazamo Yeremia 3:25 katika mazingira