Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 29:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli asema hivi juu ya Ahabu mwana wa Kolaya, na juu ya Sedekia mwana wa Maaseya, ambao wanawatabirieni uongo kwa jina lake: “Nitawatia mikononi mwa Nebukadneza, mfalme wa Babuloni, naye atawaua mkiona kwa macho yenu wenyewe.

Kusoma sura kamili Yeremia 29

Mtazamo Yeremia 29:21 katika mazingira