Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 29:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Yeremia aliiandika barua hiyo baada ya mfalme Yekonia na mama mfalme, matowashi, wakuu wa Yuda na Yerusalemu, mafundi na wahunzi kuondoka Yerusalemu.

Kusoma sura kamili Yeremia 29

Mtazamo Yeremia 29:2 katika mazingira