Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 27:20 Biblia Habari Njema (BHN)

ambavyo Nebukadneza, mfalme wa Babuloni, hakuvichukua wakati alipowachukua Yekonia mwana wa Yehoyakimu, mfalme wa Yuda na waheshimiwa wote wa Yuda na Yerusalemu kutoka Yerusalemu na kuwapeleka uhamishoni.

Kusoma sura kamili Yeremia 27

Mtazamo Yeremia 27:20 katika mazingira