Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 27:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Mwanzoni mwa utawala wa Sedekia mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, neno hili lilimjia Yeremia kutoka kwa Mwenyezi-Mungu.

2. Mwenyezi-Mungu aliniambia hivi: “Yeremia, jitengenezee kamba na nira ujivike shingoni.

Kusoma sura kamili Yeremia 27