Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 25:9 Biblia Habari Njema (BHN)

basi, nitayaita makabila yote ya kaskazini, pamoja na mtumishi wangu Nebukadneza, mfalme wa Babuloni. Nitawaleta waishambulie nchi hii na wakazi wake pamoja na mataifa yote ya jirani. Nitawaangamiza kabisa, na kuwafanya kuwa kitu cha kuchukiza, kuzomewa na kudharauliwa milele.

Kusoma sura kamili Yeremia 25

Mtazamo Yeremia 25:9 katika mazingira