Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 25:36-38 Biblia Habari Njema (BHN)

36. Sikilizeni kilio cha wachungajina mayowe ya wakuu wa kundi!Mwenyezi-Mungu anayaharibu malisho yao,

37. na makundi yaliyokuwa matulivu yameharibiwakwa sababu ya hasira kali ya Mwenyezi-Mungu.

38. Mwenyezi-Mungu amewaacha watu wake,kama vile simba aachavyo pango lake;nchi yao imekuwa jangwa tupu,kwa sababu ya vita vya wadhalimu,na hasira kali ya Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili Yeremia 25