36. Sikilizeni kilio cha wachungajina mayowe ya wakuu wa kundi!Mwenyezi-Mungu anayaharibu malisho yao,
37. na makundi yaliyokuwa matulivu yameharibiwakwa sababu ya hasira kali ya Mwenyezi-Mungu.
38. Mwenyezi-Mungu amewaacha watu wake,kama vile simba aachavyo pango lake;nchi yao imekuwa jangwa tupu,kwa sababu ya vita vya wadhalimu,na hasira kali ya Mwenyezi-Mungu.