Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 25:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha baada ya miaka hiyo sabini kukamilika nitamwadhibu mfalme wa Babuloni pamoja na taifa hilo. Nitaiangamiza nchi hiyo ya Wakaldayo kwa sababu ya uovu wao na kuifanya nchi iwe magofu milele.

Kusoma sura kamili Yeremia 25

Mtazamo Yeremia 25:12 katika mazingira