Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 2:31 Biblia Habari Njema (BHN)

Enyi watu! Sikilizeni ninachosema mimi Mwenyezi-Mungu:Je, nimekuwa jangwa kwa Israeliau nchi yenye giza nene?Kwa nini basi watu wangu waseme:‘Sisi tu watu huru;hatutakuja kwako tena!’

Kusoma sura kamili Yeremia 2

Mtazamo Yeremia 2:31 katika mazingira