Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 18:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Je, mtu hulipwa mabaya kwa mema?Walakini, wamenichimbia shimo.Kumbuka nilivyosimama mbele yako,nikasema mema kwa ajili yao,ili kuiepusha hasira yako mbali nao.

Kusoma sura kamili Yeremia 18

Mtazamo Yeremia 18:20 katika mazingira