Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 17:26 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu watakuja kutoka miji ya Yuda na maeneo ya kandokando ya Yerusalemu, kutoka nchi ya Benyamini, kutoka Shefela, kutoka nchi ya milima na kutoka Negebu, wakileta sadaka za kuteketezwa na tambiko, sadaka za nafaka na ubani wa harufu nzuri, pamoja na matoleo ya shukrani. Vyote hivyo watavileta katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili Yeremia 17

Mtazamo Yeremia 17:26 katika mazingira