Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 17:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Waaibishwe wale wanaonitesa,lakini mimi usiniache niaibike.Wafedheheshwe watu hao,lakini mimi usiniache nifedheheke.Uwaletee siku ya maafa,waangamize kwa maangamizi maradufu!

Kusoma sura kamili Yeremia 17

Mtazamo Yeremia 17:18 katika mazingira