Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 16:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Maana mimi Mwenyezi-Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, nasema hivi: Nitazikomesha kabisa kutoka mahali hapa sauti za furaha na za shangwe, pamoja na sauti za bwana arusi na bibi arusi. Yote haya nitayafanya wakati wa uhai wenu mkiwa mnaona waziwazi.

Kusoma sura kamili Yeremia 16

Mtazamo Yeremia 16:9 katika mazingira