Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 16:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Nawe utawajibu kuwa mimi Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Wazee wenu waliniacha, wakaifuata miungu mingine, wakaitumikia na kuiabudu. Waliniacha, wala hawakuzitii sheria zangu.

Kusoma sura kamili Yeremia 16

Mtazamo Yeremia 16:11 katika mazingira