Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 15:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Na wakikuuliza, ‘Twende wapi?’ wewe utawajibu kuwa mimi Mwenyezi-Mungu nasema hivi:Waliopangiwa kufa kwa maradhi, watakufa kwa maradhi;waliopangiwa kufa kwa upanga, watakufa kwa upanga;waliopangiwa kufa kwa njaa, watakufa kwa njaa;na waliopangiwa kuwa mateka, watatekwa mateka.

Kusoma sura kamili Yeremia 15

Mtazamo Yeremia 15:2 katika mazingira