Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 14:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Nikienda nje mashambani,naiona miili ya waliouawa vitani;nikiingia ndani ya mji,naona tu waliokufa kwa njaa!Manabii na makuhani wanashughulikia mambo yao nchini,wala hawajui wanalofanya.”

Kusoma sura kamili Yeremia 14

Mtazamo Yeremia 14:18 katika mazingira