Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 11:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Mimi Mwenyezi-Mungu wa majeshi niliuotesha huu mzeituni; lakini natangaza maafa dhidi yake kwa sababu ya maovu ambayo watu wa Israeli na Yuda wameyafanya. Wamenikasirisha kwa kumfukizia ubani mungu Baali.”

Kusoma sura kamili Yeremia 11

Mtazamo Yeremia 11:17 katika mazingira