Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 11:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu asema: “Watu niwapendao wana haki gani kuingia hekaluni mwangu wakati wametenda maovu? Je, wanadhani nadhiri na nyama zilizowekwa wakfu zitawaondolea maafa? Je, hayo yatawafurahisha?

Kusoma sura kamili Yeremia 11

Mtazamo Yeremia 11:15 katika mazingira