Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 21:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Mwenyezi-Mungu alimwambia Mose, “Waambie makuhani, wana wa Aroni, kwamba pasiwe na mtu yeyote miongoni mwao atakayejitia najisi kwa kugusa maiti ya watu wa jamaa yake,

2. isipokuwa kama ni maiti ya ndugu yake wa karibu, yaani mama yake, baba yake, mwanawe, binti yake, ndugu yake

3. au dada yake ambaye (aliye wa jamaa yake ya karibu), naye hajaolewa bado.

Kusoma sura kamili Walawi 21