Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 16:34 Biblia Habari Njema (BHN)

Hili, basi ni sharti la kudumu milele; ni lazima mlifuate ili kufanya ibada ya upatanisho kwa ajili ya watu wa Israeli mara moja kila mwaka na kusamehewa dhambi zao.” Mose akafanya yote kama alivyoamriwa na Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili Walawi 16

Mtazamo Walawi 16:34 katika mazingira