Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 15:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Kama mwanamume akilala na mwanamke, akatokwa na shahawa, basi, ni lazima wote wawili waoge kwa maji, nao watakuwa najisi mpaka jioni.

Kusoma sura kamili Walawi 15

Mtazamo Walawi 15:18 katika mazingira