Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 15:13 Biblia Habari Njema (BHN)

“Mwanamume yeyote anayetokwa na usaha akiponywa ugonjwa wake, ni lazima huyo mtu angoje siku saba kabla ya kuondolewa unajisi wake. Atayafua mavazi yake na kuoga kwa maji ya mtoni; naye atakuwa safi.

Kusoma sura kamili Walawi 15

Mtazamo Walawi 15:13 katika mazingira