Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 13:6 Biblia Habari Njema (BHN)

“Kuhani atamkagua tena mtu huyo siku ya saba. Kama kulingana na uchunguzi wake, ile sehemu ya ugonjwa imefifia na ugonjwa haujaenea, basi, kuhani atamtangaza mtu huyo kuwa safi; huo ni upele tu. Mtu huyo atafua mavazi yake, naye atakuwa safi.

Kusoma sura kamili Walawi 13

Mtazamo Walawi 13:6 katika mazingira