Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 13:45-48 Biblia Habari Njema (BHN)

45. “Mwenye ukoma yeyote atavaa nguo zilizochanika, nywele zake hatazichana, na mdomo wake wa juu ataufunika na atapaza sauti akisema, ‘Mimi ni najisi, mimi ni najisi.’

46. Ataendelea kuwa najisi kwa muda wote alio na ugonjwa huo. Yeye ni najisi; naye atakaa peke yake nje ya kambi.”

47. “Kama kuna namna ya upele wa ukoma kwenye vazi, liwe la sufu au kitani,

48. vazi hilo liwe limefumwa au limesokotwa kwa kitani au sufu au ni vazi la ngozi ya aina yoyote ile,

Kusoma sura kamili Walawi 13