Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 13:37 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini iwapo kuhani ataona kuwa vile vipele vimepona na nywele nyeusi zimeota mahali hapo, basi, vidonda hivyo vimepona, basi, mtu huyo ni safi. Kuhani atamtangaza mtu huyo kuwa safi.

Kusoma sura kamili Walawi 13

Mtazamo Walawi 13:37 katika mazingira