Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 13:34 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku ya saba, kuhani ataviangalia vile vipele. Iwapo kuhani ataona kuwa vipele hivyo havikuenea kwenye ngozi na wala havikwenda ndani ya ngozi, basi, atamtangaza mtu huyo kuwa safi. Mtu huyo atafua mavazi yake, naye atakuwa safi.

Kusoma sura kamili Walawi 13

Mtazamo Walawi 13:34 katika mazingira