Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 13:25 Biblia Habari Njema (BHN)

kuhani atapaangalia. Kama akiona kuwa nywele zimegeuka kuwa nyeupe na pana shimo, basi, huo ni ukoma. Ukoma huo umejitokeza kwa njia ya mahali hapo palipoungua. Kuhani atamtangaza mtu huyo kuwa najisi; kwani anao ugonjwa wa ukoma.

Kusoma sura kamili Walawi 13

Mtazamo Walawi 13:25 katika mazingira