Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 13:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Kuhani atamwangalia huyo mtu. Kuhani akiona pamegeuka kuwa na shimo na nywele za mahali hapo zimegeuka kuwa nyeupe, basi, kuhani atamtangaza mtu huyo kuwa najisi; huo ni ugonjwa wa ukoma ambao umetokana na jipu.

Kusoma sura kamili Walawi 13

Mtazamo Walawi 13:20 katika mazingira