Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 10:7-9 Biblia Habari Njema (BHN)

7. Msitoke nje ya mlango wa hema la mkutano, la sivyo mtakufa; kwani mafuta ya kupaka ya Mwenyezi-Mungu yangali juu yenu.” Aroni na wanawe wakafanya kama Mose alivyosema.

8. Mwenyezi-Mungu aliongea na Aroni, akasema,

9. “Mnapoingia ndani ya hema la mkutano, wewe na wanao msinywe divai wala kileo chochote, la sivyo mtakufa. Hii itakuwa sheria ya kudumu katika vizazi vyenu vyote.

Kusoma sura kamili Walawi 10