Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 10:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Mose alichunguza kwa makini kuhusu mbuzi mmoja aliyetolewa sadaka ya kuondoa dhambi, kumbe akagundua kuwa alikwisha teketezwa. Hivyo akawakasirikia sana Eleazari na Ithamari, wana wa Aroni waliosalia, akawauliza,

Kusoma sura kamili Walawi 10

Mtazamo Walawi 10:16 katika mazingira