Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 9:39-41 Biblia Habari Njema (BHN)

39. Gaali akatoka akiwaongoza watu wa Shekemu na kupigana na Abimeleki.

40. Gaali akashindwa na kukimbia, huku anafuatiwa na Abimeleki. Watu wengi walijeruhiwa na kuanguka njiani hadi kwenye lango la mji.

41. Abimeleki akakaa Aruma na Zebuli akamfukuza Gaali na ndugu zake kutoka mji wa Shekemu.

Kusoma sura kamili Waamuzi 9