Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 9:28 Biblia Habari Njema (BHN)

Gaali, mwana wa Ebedi, akasema, “Abimeleki ni nani? Sisi hapa Shekemu ni watu wa aina gani hata tumtumikie Abimeleki? Gideoni na Zebuli ofisa wake walimtumikia Hamori baba wa Shekemu, lakini kwa nini basi, sisi tumtumikie Abimeleki?

Kusoma sura kamili Waamuzi 9

Mtazamo Waamuzi 9:28 katika mazingira