Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 9:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Yothamu akaendelea kusema, “Sasa basi, mnadhani mmefanya Abimeleki mfalme kwa nia njema na uaminifu? Je, mnadhani mmemtendea wema Yerubaali na jamaa yake kama alivyostahili kwa matendo yake?

Kusoma sura kamili Waamuzi 9

Mtazamo Waamuzi 9:16 katika mazingira