Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 8:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, akawauliza Zeba na Salmuna, “Watu wale mliowaua huko Tabori walikuwaje?” Wakamjibu, “Walifanana na wewe, maana walionekana kama wana wa mfalme.”

Kusoma sura kamili Waamuzi 8

Mtazamo Waamuzi 8:18 katika mazingira