Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 8:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Akamkamata kijana mmoja wa Sukothi na kumhoji. Kijana huyo akamwandikia majina ya viongozi na wazee mashuhuri wa Sukothi, jumla yao watu sabini na saba.

Kusoma sura kamili Waamuzi 8

Mtazamo Waamuzi 8:14 katika mazingira