Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 7:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Gideoni akawapeleka watu mtoni na Mwenyezi-Mungu akamwambia, “Watu watakaoramba maji kama mbwa, utawatenganisha na wale watakaopiga magoti kunywa maji.”

Kusoma sura kamili Waamuzi 7

Mtazamo Waamuzi 7:5 katika mazingira