Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 4:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku moja alimwita Baraki mwana wa Abinoamu wa Kedeshi katika nchi ya Naftali. Alipokuja alimwambia, “Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, anakuamuru hivi: ‘Nenda ukusanye watu wako mlimani Tabori, uchague watu 10,000 kutoka makabila ya Naftali na Zebuluni.

Kusoma sura kamili Waamuzi 4

Mtazamo Waamuzi 4:6 katika mazingira