Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 4:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Yaeli, mke wa Heberi, akachukua kigingi cha hema na nyundo, akamwendea polepole akakipigilia kile kigingi cha hema katika paji la uso wake kikapenya mpaka udongoni, kwa maana alikuwa amelala fofofo kwa uchovu. Basi, Sisera akafa papo hapo.

Kusoma sura kamili Waamuzi 4

Mtazamo Waamuzi 4:21 katika mazingira