Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 4:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Sisera akamwambia Yaeli, “Tafadhali, nipe maji kidogo ninywe, maana nina kiu.” Akampa maziwa badala ya maji, kisha akamfunika tena.

Kusoma sura kamili Waamuzi 4

Mtazamo Waamuzi 4:19 katika mazingira