Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 20:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Waisraeli wakaenda Betheli kutaka shauri kwa Mungu, wapate kujua kabila ambalo litakwenda kwanza kupigana na watu wa kabila la Benyamini. Mwenyezi-Mungu alitaja kabila la Yuda liende kwanza.

Kusoma sura kamili Waamuzi 20

Mtazamo Waamuzi 20:18 katika mazingira