Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 2:21-23 Biblia Habari Njema (BHN)

21. sitayafukuza tena mataifa ambayo Yoshua aliyabakiza, wakati alipofariki.

22. Nitayatumia mataifa hayo kuwajaribu Waisraeli nione kama watairudia njia yangu kama babu zao au sivyo.”

23. Basi, Mwenyezi-Mungu akayaacha mataifa hayo, wala hakuyafukuza mara moja, wala hakumpa Yoshua ushindi juu ya mataifa hayo!

Kusoma sura kamili Waamuzi 2