Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 2:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Na kwa upande wenu niliwaamuru msifanye agano na wenyeji wa nchi hii na kwamba madhabahu zao mtazibomoa. Lakini nyinyi hamkuitii amri yangu. Kwa nini mambo haya?

Kusoma sura kamili Waamuzi 2

Mtazamo Waamuzi 2:2 katika mazingira