Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 19:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini wanaume hao hawakumsikiliza. Kwa hiyo Mlawi yule akamchukua suria wake na kumtoa kwao huko nje. Nao wakamchukua na kumnajisi usiku kucha mpaka asubuhi. Karibu na mapambazuko, wakamwacha aende zake.

Kusoma sura kamili Waamuzi 19

Mtazamo Waamuzi 19:25 katika mazingira