Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 18:27 Biblia Habari Njema (BHN)

Hao watu wa kabila la Dani walivichukua vitu vile ambavyo Mika alikuwa amevitengeneza, wakamchukua na yule kuhani aliyemhudumia. Basi wakaenda kushambulia Laishi wakawaua wakazi wake ambao waliishi humo kwa utulivu na bila wasiwasi, wakauteketeza mji huo.

Kusoma sura kamili Waamuzi 18

Mtazamo Waamuzi 18:27 katika mazingira